Leviticus 10:1

Kifo Cha Nadabu Na Abihu

1 aNadabu na Abihu, wana wa Haruni, wakachukua vyetezo vyao, wakaweka moto ndani yake na kuongeza uvumba; kisha wakamtolea Bwana moto usio halali, kinyume na agizo la Mungu.
Copyright information for SwhKC